lirik lagu bahati – mapenzi
wengi kwa mapenzi hawana imani, yaliwaumiza sana, mapezi yana tesa zaidi ya money×2
yalimtesanga kakangu zamani, nyumbani kawa kisirani.washirika wakatoka kanisani,, yalimtesa kakangu zamani wameyaiba kwa burudani, mwenyewe ayaonyesha msalabani
oooh oh ooh ohh mapezi mbona utatesa tesa,, aliyekuumba ni mola mola×2
nilifunzwa na babu alivyo mtunza nyanyaa.nikasoma kwa baba naye anavyompenda mamaa×2
na adamu akampenda hawa sababu akala lile tunda.hapo ndipo dhambi kazaliwa,, unak-mbukaa weee na adamu akampenda hawa haraku ndo maana tunalia.kwa mapenzi inafanya tunacheka,, unanipataa.
oooh oh ooh oh mapenzi kwanini unatesa tesa,, aliyekuumba ni mola mola×2
nkaogopa kupenda tena, nikaogopa kupata w-ngu., mtoto wa mama.mbona unatesa mapenzi.mbona unatesa kwai nini,, mbona unatesa mapenzi
kazini, nyumbani, kanisa inasema
ooh ooh ooh oh mapenzi kwa nini unatea tesa,, aliyekuumba ni mola mola×2
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu hustla – délits de besoins
- lirik lagu david antunes & the midnight band – não vai acontecer
- lirik lagu florida georgia line – dig your roots
- lirik lagu dj snake – here comes the night (feat. mr hudson)
- lirik lagu sweetheart – against the wind
- lirik lagu mike rumi – true
- lirik lagu steve aoki – i can’t lose
- lirik lagu dennis – wyspa
- lirik lagu peewhydee – doing me
- lirik lagu maxime seclin – pompeii