lirik lagu b boy blackfire – nikuite
nikuite lyrics
verse 1
nikiwa na wewe najihisi nina kila kitu,,,
sioni kasoro kwako napenda kila siku,,,
ulivyo mzuri siwez kuishi bila wivu,,,
nipe kila kitu wanafki watuonyeshe kila beef,,,
—————
aah najinsi umefungashia,,,
nimeshtukia matozi wanavyokudandia,,,
nimetulia kwako sitaki viruka njia,,,
nakuk-mbuka kila nkitaji mizuka dear,,,
—————
nak-miss mamie kila unapokua mbali,,,
wewe ndo utamu w-ngu sitaki kuijua asali,,,
mabitozi wakishua nawajua usiwajali,,,
hawawezi they want to ruin your beautyfull body,,,
—————
kiwanja kipo acha kusita njoo tucheze,,,
siogopi limbwata mtoto wakiafrika kanikoleze,,,
unyagoni mautundu kajiongeze,,,
nionyeshe switch kila nikifika nibonyeze,,,
corus 1
verse 2
walisema sina kitu nitakupa nini,,,
eti sijatulia mwisho nitakupa ukimwi,,,
pumzi shusha chini,,,
nipe uaminifu na mapenzi ya dhati uone jinsi nnavyokuthani,,,
—————
sina ndoto ya mwingine i wanna be with you,,,
i don’t wanna play fast i wanna crip on you,,,
be for you let me put things on you,,,
yani kila unapokwenda mimi nipo tu,,,
—————
nipo juu ya vile unavyotaka kua,,,
unaweza ukachagua kile unachotaka chkua,,,
niuze mashamba ya urithi tule bata,,,
mana umenikamata sijui tuseme ni limbwata au dua,,,
—————
kiwanja kipo acha kusita njoo tucheze,,,
siogopi limbwata mtoto wakiafrika kanikoleze,,,
unyagoni mautundu kajiongeze,,,
nionyeshe switch kila nikifika nibonyeze,,,
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu rich white man – the best
- lirik lagu francis wolfe – love is dangerous
- lirik lagu lxcixs – occvlt
- lirik lagu mesa verde – substance abuse
- lirik lagu violett pi – nuage en flammes
- lirik lagu ludus – little girls
- lirik lagu guardin – shadow
- lirik lagu סולג’יי – yichye ha’olam – יחיה העולם – soul j
- lirik lagu vanilla sky – a nation of allright
- lirik lagu dot cromwell – can i live 18′