lirik lagu alikiba – mahaba
siku hizi hakuna mahaba
yeah, mahaba
mapenzi ya mkataba
mpaka kufa, yamekwisha
ni neema ukiwa unahema
mapenzi yanachosha, yanafuja raha
nafsi yangu inasema
bora nimpende tu alionizaa
uchungu wa kulia daily
mapenzi yalinifanya nisile
sina k~mbuk~mbu ile
kwamba ulinikosha, no!
uchungu wa kulia daily
mapenzi yalinifanya nisile
sina k~mbuk~mbu ile
yakwamba ulinikosha, no!
mwenzako mi’ nilikufa, nikazikwa, nikaoza
mapenzi yalinitesa, yalinitupa, nimefuf~ka, yeah
mi’ nilikufa, nikazikwa, nikaoza
mapenzi yalinitesa, nimefuf~ka, yeah
s’kiza kwanza we dada
we dada
mi’ sio mgeni alishanikaba
mapenzi yalinikausha
natamani kuwa single
ila nna~upwilu unakaba koo
mabinti wenye vifundo
hao ndio mi’ wananitoa roho
na siri juu ya jambo lile
ni kama chakula lazima nile
mi’ mbovu sana wa jambo lile
na ufundi wa kutosha, ooh
na siri yake tuu jambo lile
ni kama chakula lazima nile
mi’ mbovu sana wa jambo lile
na ufundi wa kutosha, ooh
mwenzako mi’ nilikufa, nikazikwa, nikaoza
mapenzi yalinitesa, yalinitupa, nimefuf~ka, yeah
mi’ nilikufa, nikazikwa, nikaoza
mapenzi yalinitesa, nimefuf~ka, yeah
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu loovex – not an empath
- lirik lagu bsu prod. – рахунок
- lirik lagu sunshine christo – grass is greener
- lirik lagu major league djz, tyler icu & thabzin sa – pina tsa ko kasi
- lirik lagu slump6s – bad habits
- lirik lagu yasah – the volunteers
- lirik lagu jdot breezy – 5 dubs
- lirik lagu ornella vanoni – vita [live 2023]
- lirik lagu yozi – יוזי – ein matzav – אין מצב
- lirik lagu de fam – alamak raya lagi!