lirik lagu adasa – say yes
[intro]
hewa, hewa, hewa
hewa, hewa, hewa
hewa, hewa, hewa
[verse 1]
napokutazama kwa macho
nataraji useme utakacho
tubadilishane mawazo mmh
napata faraja unenapo
nakosa faraja uwazapo
niko hapa kutimiza utakalo
iyaa baby
nafahamu fikra we ndo chaguo langu
mwenye kujali hisia zangu
nafahamu fikra we ndo ubavu w~ngu
[bridge]
basi nikaribie usiwe mbali (mbali)
nik~mbatie usiwajali (jali)
ninong’onezee sema nami (dadii ii)
nikaribie usiwe mbali (mbali)
nik~mbatie usiwajali (jali)
ninong’onezee sema nami (daddy, dadiii)
[chorus]
say yes, say yes
say yes, say yes
[verse 2]
nimesubiri sana siku kama hii
mwenzangu sema ndio
nipende mimi usibadili mawazo
aaah eeh
nilivyokwisha kwako jinsi namna hii
usiniache na kilio
fanya hima mpenzi, hima
nakusubiri yaani
niko na hamu gani
nataka useme nami
uliyoficha yaani
yaweke hadharani
yaliyojaa dhamani
nifurahiе jamani
nakupenda mwandani
[bridge]
basi nikaribie usiwe mbali (mbali)
nik~mbatiе usiwajali (jali)
ninong’onezee sema nami (dadii ii)
nikaribie usiwe mbali (mbali)
nik~mbatie usiwajali (jali)
ninong’onezee sema nami (daddy, dadiii)
[chorus]
say yes, say yes
say yes, say yes
sema nami mpenzi
sema nami
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu traper slave – grove street
- lirik lagu lil keed – exactly
- lirik lagu zero 9:36 & ice nine kills – adrenaline
- lirik lagu esa risty – lilo
- lirik lagu roxasss – k.a.p.4.m
- lirik lagu vnms – gåsehud
- lirik lagu blutengel – darkness awaits us
- lirik lagu turbo jexx – wish i got
- lirik lagu ballout – skurt skurt
- lirik lagu megan nichols – here i am falling