lirik lagu zuchu - makonzi
[intro]
lg ih
lg ah, ah ah
mr lg
[verse 1]
ndo kakwambia ataniacha
haha hehe unachekesha sana
hizo ni ndoto za alinacha
haha hehe anakundanganya
hata umpe nini
hunin’goi unajisumbua mwaya
huyo bila mimi, hatoboi
nimemshika pabaya
[pre chorus]
we chezewa ukimaliza kwenda
hatuachani kisa ujinga
we chezewa ukimaliza kwenda
hatuachani kisa ujinga
na nikikukuta nae
[chorus]
patachimbika
nitakutia makwenzi
nitakutikisa
patachimbika
nitakutia makwenzi
nitakutikisa
[verse 2]
kwanza unitambie umenizidi nini
kubattlle na mie
uje na wenzako tisini
uliza uambiwe
mimi mtoto wa nani (kapaa)
ukijifanya chawa
mi mwenzako kunguni
huna nini ?
huna jipya nenda kwa mwampopo
kikisafishwa labda ndo upate soko
huna nini ?
huna jipya nenda kwa mwampopo
kikisafishwa labda ndo upate soko
[pre chorus]
we chezewa ukimaliza kwenda
hatuachani kisa ujinga
we chezewa ukimaliza kwenda
hatuachani kisa ujinga
na nikikukuta nae
[chorus]
patachimbika
nitakutia makwenzi
nitakutikisa
patachimbika
nitakutia makwenzi
nitakutikisa
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu recycled j - confession
- lirik lagu donald riebe - bff (remix) (rock remix)
- lirik lagu domo wilson - nasty
- lirik lagu aïsha devi, equinoxx - favor of fire - equinoxx remix
- lirik lagu lusine (fra) - plombdanslecœur
- lirik lagu mother aidan & sammy dallas - feel this way
- lirik lagu jonoosis - light
- lirik lagu soaked oats - pink beach
- lirik lagu zacchae'us paul - alpha woman
- lirik lagu g3minii - already dead