lirik.web.id
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

lirik lagu umenitengeneza - tyoza

Loading...

umenitengeneza ah
umenitengenezaaa ah
niliyekuwa sifai hi
umenipa kufaa bwana
niliyekuwa siwezi
ukanipa kuweza bwana
tofauti na vile nilivyotarajia oooh oh
adui zangu walitaka kuniuwa
ila bwana ukanitetea
shimoni pia wakataka kunitupa
ili kwamba wasinione tena
wakaja na mishale ukaipangua bwana
bahari ya shamu ikagawanyika, mi nikapita ooh ooohoo
walibaki wanaulizana huyu kapita vipi hi hiii
walishangazwa na kitu kile bwana umetenda kw~ngu

ulinitengeneza ukanifuta haibu yangu uuh
umenitengeneza ooh tengeneza bwana
umenitengeneza ukanifuta machozi yangu
baba yangu umenitengeneza aaaaaah
umenitengеneza yesu w~ngu uuuh
umenitеngeneza yesu w~ngu uuuh
umenitengeneza yesu w~ngu uuuh
umenitengeneza yesu w~ngu uuuh

kuna wakati nilitaka kujiuwa
baba we ulijuwa
kuna wakati nilikata tamaa
ukanitia moyo
kuna wakati nilidondoka aah
ukaniinuwa aaah
baba umenibadilisha aah
yahwe umenitengenezaaa aah
ni kama majira yanavyobadilika
mchana na usiku kuwa bwana
ndivyo ulivyonijuwa
ukaona nafaa
niwe wako oooh
na tena yafaa
nikutumikie wewe
ukanibadilisha aah
leo nafaa aah
umenitengenezaaa ooh tengeneza bwana
umenitengenezaaa ah
umenitengenezaaa enifuta haibu yangu… umenitengenezaaa
baba yangu ……. umenitengenezaaa aha
umenitengeneza yesu w~ngu uuuh
umenitengeneza yesu w~ngu uuuh
umenitengeneza yesu w~ngu uuuh
umenitengeneza yesu w~ngu uuuh

umenitengeneza ah
umenitengenezaaa ah
umenitengenezaaa ah
umenitengenezaaa ah


Lirik lagu lainnya:

LIRIK YANG LAGI HITS MINGGU INI

Loading...