lirik lagu ruby – alele
its bob manecky.. heeh yeaah…
nikisema nitakufa
kisa mapenzi, moyoni nitamkosea
wanayadhani nina ufa
hakuna mwenzangu, nyumba inamdondokea
mi najua
sina dhamani kwako utanik-mbuka
nishatenda wema
mi nakwenda zangu utanik-mbuka
poleza na moyo we, mwaya we
najua amekuumiza
ila yupo mungu, baba
najua atalipiza
6 fast rising nigerian artist to watch out for in 2019
pole sana moyo, mwaya
najua amekuumiza
ila yupo mungu,baba
najua atalipiza
alele, nishalia
alele, nikaumia
alele, sina dhamani kwako
alele, mtima ulilia
alele, maana wengine wapo…
alele, nishalia
alele, nikaumia
alele, sina dhamani kwako
alele, mtima ulilia
alele, maana wengine wapo…
kwa mitaa jamaa anaandamana
kweli mapenzi y-n-liliwaa
niliachaga drama na ujana
eey yeah…
yalianzaga enzi
ikanenaga na nafsi acha nivumilie
jamani mapenzi
yamekuwa hadithi acha nisimulie
poleza na moyo we, mwaya we
najua amekuumiza
ila yupo mungu, baba
najua atalipiza
pole sana moyo, mwaya
najua amekuumiza
ila yupo mungu,baba
najua atalipiza
alele, nishalia
alele, nikaumia
alele, sina dhamani kwako
alele, mtima ulilia
alele, maana wengine wapo…
alele, nishalia
alele, nikaumia
alele, sina dhamani kwako
alele, mtima ulilia
alele, maana wengine wapo
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu exit order – dead ringer
- lirik lagu kam & mirah – a’s & b’s
- lirik lagu queensilver – stars
- lirik lagu ali – empty rooms
- lirik lagu keith green – he’ll take care of the rest
- lirik lagu hoax – loony
- lirik lagu markus riva – по венам алкоголь
- lirik lagu not the band – blood in the bathwater (she called herself amanda)
- lirik lagu rowlan – itsbeenreal
- lirik lagu 99 neighbors – coughing up smoke