lirik lagu rapcha - dangerous desire
[intro : azeezah]
i’m here babe i can cook, i can clean and i can take care of you.. na ukinioa tu mimi wallah mi naachana na hizi story za media nakuwa mke nyumbani natulia yani hata siongei hata urban~tone siimbi tena ni wewe tu my love
(kemets)
this is for my african girl anaetafuta love
blessed with the natural beauty kutoka above
craving for attention, struggle ya ku upgrade status
kuhakikisha anaweza kuishi fantasies
friends wana’fly sana kwenda turkey na dubai
kwake hata kuvuka maji kwenda zenji tu nishai
wala hajui anything hata kuhusu business class
bado yuko different class
akitoka out kwa hela yake ni uhakika tu atakula rent
wenzake wanatoka jumatatu na hawajalipa cent
kuna muda anajiuliza maybe mimi niko slow?
kila akipambana anaona wenzake wanafanya more
birthday loading, boyfriend sucks
sugar dady anaomba tu account aweke few bucks
top up simu haipendezi na izo screen cracks
hana mood swings ukimpa jax
meanwhile anahitaji kuwa na mtu ambae yuko commited
angel kwenye ku provide, kwenye bed wicked
kama mbele yako haoni future wala gari ambayo itamfikisha
ni swala la muda kuwa deleted
raised kwenye dini ila recently
mambo mengi yamechukua nafasi kwenye moyo mpaka yesu amemuweka dp
na ndo huyo una mpango wa kumkabidhi moyo pia
sasa atashindwaje kukupa bp
babygirl take it slow
hebu pumzisha body, slow down slow
umekamilika body, so and so
hauhitaji surgery ni 4 plus 4
put on your favorite outfit right now
go have fun uenjoy ulichonacho now
vyote unavyohisi ukivipata ndio vitakupa furaha, haviwezi kupa kama huna right now
kuna muda unaamka bila nguvu ya kuendelea
ila kila changamoto ina mlango wa kutokea
ukumbuke hofu hata iwe kubwa kiasi gani
haitaweza kuzuia linaloenda kutokea
dangerous dangerous
kila nachofanya ni dangerous
foes wananihanya, i’m dangerous
hizi side waga ni dangerous
dangerous dangerous
kila nachofanya ni dangerous
foes wananihanya, i’m dangerous
hizi side waga ni dangerous
[verse 2]
cheki behind the bars
utajua story behind the scars
giza lililoko behind the stars
siwezi kuwa innocent maana mitaa inanipa hela kusikia niko behind the bars
kwenye kila hardtime i still survive
ukiona bado unateseka haujafa, you are still alive
ubinadam kazi mbaya sio 9~5
unaifanya siku 365
hii ni kwa nnae muona kwenye kioo
mwisho wa kuogopa ndio maisha yanapoanza
giza hutoweka siku mpya inapoanza
try tu, inuka hapo ulipo, anza
uoga unafanya idea zinabaki kuwa idea
mwisho wake unakutoa kwenye nia
kuridhisha kila mtu ni kujichimbia grave
na ukifanya hiyo kazi utaishi kama slave
shida unapotaka kuridhisha mtu utajitesa maana kuna wengi hata wao hawajui nini wanachohitaji
unaeza ukampa kila ulichonacho moyo wake ukatulia kwa anaempa kila anachohisi anakihitaji
right now ndipo ilipo glory
sitaki kuangalia past nlivyokua na worries
maana kila new day ni chance ya kupgrade
ni chance ya ku update
ni chance ya ku change your story
nishakosa chance kibao to this date
sio kila chance inazaa regret
muda nnaospend katika enjoy~ment
sihesabu kama ni time na waste
don’t kill yourself kutafuta engagement
hauhitaji watu waku’validate
nishawahi zipa career existence
mi na hawa loosers hatuwezi debate
pesa ziko clean man roho ndio evil
utashangazwa kila leo watu ndo walivyo
wanaonitafuta kunipata very simple
watazame juu yao kuona mi nilipo
kama cotton buds nikiingia kwenye kila sikio nasafisha ndani na kufanya iwe fun (yeah)
uelekeo ni juu na hakuna u~turn
dining nacheza na toothpick mkisubiri table zi’turn, oya!
dangerous dangerous
kila nachofanya ni dangerous
foes wananihanya, i’m dangerous (young star naitwa..)
hizi side waga ni dangerous (rapcha mchizi toka shy town)
dangerous dangerous
kila nachofanya ni dangerous
foes wananihanya, i’m dangerous
hizi side waga ni dangerous
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu eliram posner - paper planes
- lirik lagu 509_bmg - bipolar
- lirik lagu cassiane - o abraço do noivo (playback)
- lirik lagu yuvan, arry gill, fuego - taareyan
- lirik lagu 揺らぎ (yuragi) - to know you as you are with no ends
- lirik lagu kadec santa anna & franckvit - mi problema favorito
- lirik lagu avast - do u listen
- lirik lagu dr.kyle - château de sable
- lirik lagu st. cyril - hurt people hurt people
- lirik lagu koshmarny - на грани(on the edge)