lirik.web.id
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

lirik lagu nyashinski - 1 of 1

Loading...

uh
yeah yeah

mafan wanataka some new ish
mamaa anataka a new whip
babaa anatafuta school fees
hananga patience ya bullsh~t

uh, nakuw~nga hood rich
jaba inaletwa na toothpick
pull up wanashangaa who’s this
pull up wanashangaa who’s shin chilla

dogi mzee hazina new tricks
wanaishanga wakifeel sweet
siwataji ka the shoes fits
siwahitaji sana vile nyi hu~wish

sanaa imejaa na ma cool kids
gava inafaa na mayouth please
ambia mafala the truth is
song zao n~z~peanga two weeks

mang’aa amesimama kwa pulpit
anapractice kile yu preach
mind yangu inakuw~nga too quick
line zangu zinakuw~nga too sick
ma~flow unaonanga vile mi huswitch
mi pekee ndo rapper nyi humiss
hakuna level sijai reach
hakuna dranya ako too thick

wah god bless
tangu nishike cordless
marapper wengi wako jobless
hii game ni ka mocha ni heartless

uh, industry ni selfish
aim ya kila mtu ni get rich
so na aim~ia kila mtu si~make peace
na ata ka ntaforgive si~forget sh~t

hivi ndo inakaa saa ile hubahatishi
unaona gwiji so far
cheki naifanya fiti, unapenda mziki
na hata hulazimishwi

na mapost mingi mingi
bila stunts na ma kiki
na run jiji, nasound fiti
i am simply one of one

hivi ndo inakaa saa ile hubahatishi
unaona gwiji so far
cheki vile naifanya fiti, unapenda mziki
na hata hulazimishwi
na mapost mingi mingi
bila stunts na ma kiki
na run jiji, nasound fiti
i am simply one of one

ni so fulfilling
silipwi na promises ama exposure
hapana ni dollar au shilling
utaamini blogger au mimi?

to be frank lakini
career yako ilidie ikazikwa
unangoja ni argue na mzoga au nini?
unanifuata sana umerogwa au nini?

uh, mi sio ka nyinyi, hakuna msanii hupiga show ka mimi
gari ya loan kutuonesha vile unashika doh siamini
baada ya miaka kadhaa unadai kuchangiwa, wah
juu ya okada juu ya vile umeharibu maziwa, wah

situation yangu ni win win
aisee digaga na bling bling
friday kidagaa na sim sim
man siezi lala na~live dream

kitu hamwezi fake ni energy
sitolerate fake energy
arif atabaki arif
enemy atabaki enemy
niko la villa nakula pasta na wife
najua watu ni ma gangster for life
stamps zimejaa kwa passport ya mine
k~mbuka ni business class nikifly

uh, business yangu usiingilie
usha~warniwa sa usinitry
for peace of mind sijidrive
uh, crib ya mine si ni vibes

umefanya nini in life
ndo uweze kunipa advice
tuambie unajua nini besides
kucriticize criticize

uh, nimefanya vitu hukuwa unajua zinaeza fanyika
keep it one hunna
so hata hizo vitu nakuona uko busy ukiandika
hazina maana

mahater si wanangangana
mamoves mi namake wan~z~ona
umengoja niheme ukahema
nlikushow mi ni marathon runner

nafanya unakaa fala
kupredict downfall ya mine
mmebonga sana na nimewaskia
sa nawachapa one at a time


Lirik lagu lainnya:

LIRIK YANG LAGI HITS MINGGU INI

Loading...