lirik lagu nandy - umenifaa
[intro]
wakati wa shida
wakati wa shida
huniepusha huniepusha mimi
umenivusha
[verse 1]
ni wewe
ulinipa njia pasipo kuwa na njia, ni wewe
ulinipa chakula wakati wa njaa kali, ni wewe
ulinifuta machozi wakati wa huzuni, ni wewe baba (aah)
[pre chorus]
ina mengi dunia na ina siri nzito
hata magumu yalipotokea hukuniacha mwenyewe
kwenye sufuri umenitoa fedheha na laana umeziondoa
furaha na faraja imenijia yesu
[chorus]
umenifaa, umenijaa, wakati wa shida
umenifaa, wakati wa shida
umejibu maombi yangu, wakati wa shida
umenifaa, wakati wa shida
[verse 2]
umetarafu na matendo ya wanadamu
kwa neno la midomo yako
umeniepusha na njia za wenye jeuri
nyayo zangu zi kwako
nitatengeneza nawe
nitajiimarisha nawe
kwa kinywa changu nitakiri
ulivyo uaminifu wako
[pre chorus]
ina mengi dunia na ina siri nzito
hata magumu yalipotokea hukuniacha mwenyewe
kwenye sufuri umenitoa fedheha na laana umeziondoa
furaha na faraja imenijia yesu
[chorus]
umenifaa, umenijaa, wakati wa shida
umenifaa, wakati wa shida
umejibu maombi yangu, wakati wa shida
umenifaa, wakati wa shida
[bridge]
nipokee vumbi nifute
nishike nisiaibika
nipokee vumbi nifute
nishike nisiaibike
[outro]
wakati wa shida
wakati wa shida
wakati wa shida
wakati wa shida
yesu unisaidie
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu libro_kj - frutto del male
- lirik lagu fares - mi sono sempre sbagliato
- lirik lagu 1d9ntkn6w & sssdsadsf - дано
- lirik lagu dougald hendrick - fools, brittania...
- lirik lagu nayn - sans façons
- lirik lagu jay torantino - about us
- lirik lagu dualspines - ice queen
- lirik lagu katja krasavice & ikkimel - bitch
- lirik lagu alikiba - zaidi yangu
- lirik lagu dj tapfap - gissegassegubbens nyttårsfest