lirik.web.id
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

lirik lagu munta dee - kuwa serious

Loading...

ngoja kwanza kwa majina tujuane
kuna sele, kuna iddi, kuna hassani
tumekula, tumekunywa, tupo nane
mbona bill imekuja eti mnikanee?

hii nini, hii nini? (bill yako hiyo)
sasa mbona mnanipa mimi? (kasema we ndiyo tajiri)
kwani tupo w~ngapi, kwani? (mezani tupo watu nane)
haya weita, hii bill igawe kwa nane

oya wanangu, wallet siioni (kuwa serious)
nipo serious
home tutaondokaje? (kuwa serious)
nipo serious
oya masela, wallet siioni (kuwa serious)
nipo serious
nyumbani tutaondokaje? (kuwa serious)
nipo serious
tutatembea kwa miguu kama wafarisayo

mi sio tozzy wewe

kuna mtoto anacheza chura, kanichanganya
sura ya baba, cha ajabu kajazwa nyama
nataka k~mfata, ila demu w~ngu ndiye ananibana
na amesema nikichit tunaachana
kwani kuachana bei gani? (buku jero)
nipeni ilo buku, ilo jero baki nalo
kwani kurudiana bei gani? (buku mbili)
mimi nina buku jero na lile jero buku mbili

oya mjuba, umebakisha hela ya supu
hapa nina mia tatu na chenchi imebaki bukuu
nakupa ratiba mpaka kucheni nipo huku
jero chapati, bati flagin, mia tano napata supu

hunijui, sukujui, sa mbona unaleta hisia
eti twende wote home, je itakuwaje ukinifia?

emu ngoja kwanza, adasco shika shika

mbona wallet siioni (kuwa serious)
nipo serious
hapa umekuja wewe tu (kuwa serious)
nipo serious
oya wanangu, wallet siioni (kuwa serious)
nipo serious
nyumbani tutaondokaje? (kuwa serious)
nipo serious
tutatembea kwa miguu kama wafarisayo


Lirik lagu lainnya:

LIRIK YANG LAGI HITS MINGGU INI

Loading...