
lirik lagu monica bulali feat solomon mkubwa - tawala song
Loading...
tawala song lyrics
stanza one
uliniumba nikuabudu
wewe ni bwana wa mataifa
dunia yote yakutukuza
ufalme wako wadumu milele
na matendo yako ni ya ajabu
ushindi wako ni wa kipekee
unastaajibisha twakutuza
tunasema
tawala milele
chorus
tawala aaa aaa aaa
tawala aaa aaa
stanza two
kazi zako bwana tuzilinganishe na nani
umetuumba ili tukuabudu bwana
mimi ni kazi ya mikono yako
ndio maana na imba sababu undani mw~ngi
tawala aaa aaa
tawala bwana aaa aaa
kiti chako kikae kila siku hallelujah
tutapiga magoti hapo kila siku
bridge
wastahili kutawala
wastahili kuabudiwa
wastahili kusifiwa
wastahili kuinuliwa
bwana aaa aaa
chorus
tawala aaa aaa aaa
tawala aaa aaa
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu alex warren - everything
- lirik lagu me rex - never graduate (2018 version)
- lirik lagu nate curry - maybe just one more
- lirik lagu i.k - street vérité
- lirik lagu futur proche - c’est à nos vies
- lirik lagu lucky cat - other oceans
- lirik lagu congressofbando - talked to my momma and she said
- lirik lagu onedizzy - район (district)
- lirik lagu jimmyburger & dj strapon - bacon egg & cheese
- lirik lagu chippy nonstop - ☻♀☻ bounce ☻♀☻