lirik lagu laura karwirwa – natamani nikuone
Loading...
eeeeh lala.lala.lala
uuu baba…
mmmhh… (still alive)
mengi nimeshasikia, uliyoyatenda mengi hata nami pia, naweza shuhudia,
katika siku zangu za giza (wewe umenituliza)
nimepenya kwenye giza (umenimulikia njia)
nikusujudie, nikuinamie, niseme nawe,
niushike mkono wako ewe oh, nitembee nawe
natamani nikuone heeey, ndio tamaa ya moyo w-ngu, na nafsi yangu
(umekuwa mwema)
nitakuwa nimetayarisha sadaka nikupe, na sauti
nimenyorosha na malaika niimbe, sadaka za sifaaa he he,
naomba pokeaaaaa, sauti napaza napazaaaaaaa, naomba
sikiaaaaa
natambua mimi dhaifu, kama musa navua viatu vyangu,
nikaribie utakatifu wakoooo, nimeoshwa na hiyo damu
(umekuwa mwema8)
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu harmonize – nishachoka
- lirik lagu pitbull – hey ma (demo)
- lirik lagu lp – levitator (live)
- lirik lagu ezra furman – love you so bad
- lirik lagu lady gaga – panty party
- lirik lagu sercho – alibi
- lirik lagu pablo – ela ligou (ao vivo)
- lirik lagu or3o★ – doki doki forever
- lirik lagu hopsin – simon says (freestyle)
- lirik lagu mikky – освободи