lirik lagu lady jay dee – siwema
siiweema usinipe mateso ya moyo
na sasa nimechoka kweli nasemaa
siwema usinipe mateso ya moyo
na sasa nimechooka kweli naseema
nilidhani nimepata mpenzi wa kweli
na k-mbe nimepatikana na mambo ya ajabu uuh
nia na madhumuni yako nimeshavitambua siwema kaka, siwema kaka ah ah aah
unaajitapa mbele ya rafiki zako, kwamba mimi
sina la kusema mbele yako, umeniweka kwenye
kiganja ah ah
unalotaka ndilo ninalofanya, sababu wewe ni mzuri sana
siwezi kupata mwingine kama wewe
siwema kaka, unajidanganyaaa
wema w-nguu ndio ulionipooonza, fadhila zote k-mbe kwako ni buree
malipo yake kunifanya mjingaa .wouwoo
ayo yote ni makosa yangu, lakini sasa nimejifunza
kutokana na makosa aah
najiepusha nawe mamaah
nimezunguuka tz baraa ah.unguja na pemba nimefika aah, nimewaona vijana wenye sifa aah, wenye kujipamba wakapambika aah x 2
kwahiyo niielewe brother,
sibabaishwi na suraa haaa, napenda tabia njema
(sibabaishwi na sura yako)
sibabaishwi na sura aaah, napenda tabia njeema
(usifikiri mimi limbukeni sana)
sibabaishwi na sura aah, napenda tabia njema
(nilikupenda kimapenzi)
sibabaishwi na sura aaah, napenda tabia njema
(ukaniona mimi sugar mumy lako)
sibabaishwi na suraa aah, napenda tabia njema
(tabia njema ndiio silaha yako)
sibabaishwi na sura aah, napenda tabia njema
(kila mtu atakupenda kaka)
sibabaishwi na sura aah, napenda tabia njema
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu reggae revolution – lay me down
- lirik lagu fabio carry – revelation
- lirik lagu lord finesse – on da m.i.c.
- lirik lagu holly throsby feat. mark kozelek – what do you say?
- lirik lagu jean deaux – pressure
- lirik lagu mr twin sister – poor relations
- lirik lagu courtney marie andrews – pioneer boys
- lirik lagu laura & lars – good ‘ole tennessee
- lirik lagu gabo el de la comision – de mal pa bien
- lirik lagu wild ones – row