lirik lagu edward's okoth bryan (ethan muziki) - mabawa
[verse 1]
ukiwai jiuliza, sababu zangu kukupenda
kalamu gani haitaisha, kitabu gani sitajaza
nimebarikiwa miujiza, vitu tunaonea si mema
kama ushai jiuliza
wacha nijaribu kuzisema
[bridge]
si urembo tu, ama tabasamu
ni vile unajibeba, vile unajiweka
sijui kaa unajua, vile unaniinua
unanifanya mtu bora
[chorus]
na unanipa mabawa
unanipa mabawa
unafanya nikuwe sawa
mapenzi yako mabawa
ni kila kitu
[verse 2]
ni vile wewe huongea, kwa utaratibu
na tukikosana, tunatafuta jibu
na tena unapenda kuona nikishinda
unanisherekea, nyota zangu un~z~linda
[bridge]
si urembo tu, ama tabasuma
ni vile unajibea, vile unajiweka
sijui kaa unajua, vile unaniinua
unanifanya mtu bora
[chorus]
na unanipa mabawa
unanipa mabawa
unafanya nikuwe sawa
mapenzi yako mabawa
ni kila kitu
we unanipa mabawa
unafanya niwe sawa
mapenzi yako mabawa
ni kila kitu
wawa wawa wawa
mabawa wawawa
wawa wawa wawa
mabawa wawawa
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu гадость (gadost`) - december - incident
- lirik lagu otshlepal - терпение (patience)
- lirik lagu kanata nash - boogeyman
- lirik lagu advance (ita) - take me to the top
- lirik lagu armandronan - it's okay
- lirik lagu asia (graveyard princess) - the saddest birthday girl
- lirik lagu ac640 - shyt 2 say
- lirik lagu verb t & vic grimes - anti-stress
- lirik lagu ginuwine - christmas day
- lirik lagu s4my - suggest