lirik.web.id
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

lirik lagu don't play - andy lawn

Loading...

don’t play

[intro : andy lawn]

susususuuuu

[ pre~chorus : andy lawn ]
mwili ina~drop, kwa casket (aaah)
sinanga biz, na sanse (eeeiii)
tuna~run, hizi deals (aaah)
wanadhani, mini~konte (wooo)
kama ni biz, we don’t play (ice, ice, ice)
sina ma~time, ya off day
kama ni biz, we don’t play (wooo)
sina ma~time, ya off day (yeah, yeah)

[ verse 1 : yung lee ]

i run it down
am balling, na~gusa ka~kante (aaah)
stoshei hiyo, pingu afande
taja ni ngapi, nta~chuna, i don’t play
game ni chafu, no complain
zoea, ukichoka jitoe (eeeeiii)
game ni chafu, no complain
minabaki, najua ku~run (eeeiii)
nina~dharau, fake n~ggas, wabaki huko kwao
vitu junkie, unashika ma~thao
wacha ujinga, utakula vibao
hadharani, utabaki kwa ground
hizo scenes, zitafanya u~drown (eeeiii)
hadharani, utabaki kwa ground
hizo scenes, zitafanya u~drown (eeeiii)
[ verse 2 : andy lawn ]
cheki na run, hizi skits (cheki)
wanabaki wakishindwa, nani ndio beast? (beast)
niko biz on repeat (repeat)
all my g’s, wanasimp (simp)
flow ni moto, kama gas leak (ntaa)
nishafika, kwenye peak (ntaa)
haga mami, yoh sinanga chalice
nikamshika, joh na blue print (print)
cheki vile mina~spit, kwa booth
mind game, kama chess piece
mi huweka, kazi kwa verse (verse)
tiktok, hii ni must pay (pay)
mi ni beast, no debate (bate)
waki~try, kuni~diss (diss)
manze hizi bars, ni kama curse
wakisema, ati ni luck (eeeiii)

[ chorus : andy lawn ]
mwili ina~drop, kwa casket (aaah)
sinanga, biz na sanse (yeah)
tuna~run, hizi deals (aaah)
wanadhani, mini~konte
kama ni biz, we don’t play
sina ma~time, ya off day
kama ni biz, we don’t play
sina ma~time, ya off day
mwili ina~drop, kwa casket (aaah)
sinanga, biz na sanse (eeeiii)
tuna~run, hizi deals (aaah)
wanadhani, mini~konte (wooo)
kama ni biz, we don’t play ( ice, ice, ice)
sina ma~time, ya off day (mmm~mmm)
kama ni biz, we don’t play (yoh, listen)
sina ma~time, ya off day

[verse 3 : double g ]
daily niko on, ka~hawker
bang’a, aki double tap nam~gotha
wauniita, g double joker
but mwere akijidai, nam~zima juu ya mbota (huh)
naingia rima (huh~huh)
kesho yake, natoka na maziwa
huezi ni wahi kwa choche, usiku wa manane (huh)
that’s why, hatuezi fanana (huh)
niko on the paycheck, vuala
unatumianga payless app, apana
mblainer, shandwa chap chap
juu soon as we step, tunawaponanga faster
msupa mi ndio master, na we ndio plan, so sioni tukiachana
jua we don’t play off day, noma, so ukitu~cross ni lawama (yoh)

[ verse 5 : kisanga ]
everyday, tunadrop hizi hits
hii ndio pace, mtaa huwezi snitch
tuko ready, hauskii tunak!ll
man on a mission (huh), utafeel
hii si kiki, lakini ina~kick
wametry kuni~dim, sema beast
zero pressure, try to ku~heal
zero pressure, try to ku~heal
mihukesha, ukileta hiyo biz
misi~member, juu niko na bills
no chills, kwa game nili~fit
naona opp, daily kwa mix
we ndio sender, back uta~talk
tume~spit, daily for long
siwezi cheza na biz, siwezi kam hivyo, na huwezi ni treat
evil ni evil, hata kaa umerepeat
evil ni evil, hata kaa umerepeat


Lirik lagu lainnya:

LIRIK YANG LAGI HITS MINGGU INI

Loading...