lirik.web.id
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

lirik lagu bravo the son – kule (too late)

Loading...

verse 01:
kule
n-gg-s wanauliza mbona sku hizi hata hucheki bro
vipi yule mchumba wako khadija toka kariakoo
sina cha kuwajibu mana sijui wapi we ulipo
nabaki nasizi na mastimu yangu ya ki-hardcore

unavunga huniskii, wala huniangalii
kisa sina pesa sionekani tena kwa tv
mapenzi ni uchizi mama siwezi nkakufosi
ila muda w-ngu nlowekeza sioni profit

sku hizi hauko tena nami ooh vipi mamiloo
nilidhani mi ndo wako bishoo but not anymore
nshawambia machizi sku hizi mimi nawe hatuendi out
muda w-ngu mwingi nautumia tu ku-ballin out

sku hizi uko matawi ya juu
mi siwaki tena moto wa kifuu
nimefanya mengi bae because of youu
coz niliamini ulinipenda too k-mbee

chorus:
its too lateee, kuleee
haupo nami umeshasepa kulee eeh
kuleee, kuleeee
haubaki nami umeshasepa kuleee
ooh…umeshabaki kulee kuleee
oooh…umeshasepa kuleee kulee

verse 02:
always keep it to ma’ self, never really been too proud
sijui hata kitu gani kimechofanya ukanisahau
long nights everyday tulichat
nak-mbuka we uliapa hauniachi

nawe ndo reason iliyonifanya nkagombana na ma n-gg-s
ili niwe nawe nkawakana hadi ma n-gg-s
sikujali hata muda niliamini tu yatajipa
sik-mbuki hata vipi hii point tumefika

zile shantings, ushabwada tena sitaki
sometimes nkik-mbuka hata waschana tena siangalii
nshawambia machizi sku hizi mimi nawe hatuendi out
muda w-ngu mwingi nautumia tu ku-ballin out

sku hizi uko matawi ya juu
mi siwaki tena moto wa kifuu
nimefanya mengi bae because of youu
coz niliamini ulinipenda too k-mbee

chorus:
outro:
oooh
kuleeee, kuleeh, kuleee
braavooo, zungu


Lirik lagu lainnya:

LIRIK YANG LAGI HITS MINGGU INI

Loading...