lirik lagu bravo the son – kule (too late)
verse 01:
kule
n-gg-s wanauliza mbona sku hizi hata hucheki bro
vipi yule mchumba wako khadija toka kariakoo
sina cha kuwajibu mana sijui wapi we ulipo
nabaki nasizi na mastimu yangu ya ki-hardcore
unavunga huniskii, wala huniangalii
kisa sina pesa sionekani tena kwa tv
mapenzi ni uchizi mama siwezi nkakufosi
ila muda w-ngu nlowekeza sioni profit
sku hizi hauko tena nami ooh vipi mamiloo
nilidhani mi ndo wako bishoo but not anymore
nshawambia machizi sku hizi mimi nawe hatuendi out
muda w-ngu mwingi nautumia tu ku-ballin out
sku hizi uko matawi ya juu
mi siwaki tena moto wa kifuu
nimefanya mengi bae because of youu
coz niliamini ulinipenda too k-mbee
chorus:
its too lateee, kuleee
haupo nami umeshasepa kulee eeh
kuleee, kuleeee
haubaki nami umeshasepa kuleee
ooh…umeshabaki kulee kuleee
oooh…umeshasepa kuleee kulee
verse 02:
always keep it to ma’ self, never really been too proud
sijui hata kitu gani kimechofanya ukanisahau
long nights everyday tulichat
nak-mbuka we uliapa hauniachi
nawe ndo reason iliyonifanya nkagombana na ma n-gg-s
ili niwe nawe nkawakana hadi ma n-gg-s
sikujali hata muda niliamini tu yatajipa
sik-mbuki hata vipi hii point tumefika
zile shantings, ushabwada tena sitaki
sometimes nkik-mbuka hata waschana tena siangalii
nshawambia machizi sku hizi mimi nawe hatuendi out
muda w-ngu mwingi nautumia tu ku-ballin out
sku hizi uko matawi ya juu
mi siwaki tena moto wa kifuu
nimefanya mengi bae because of youu
coz niliamini ulinipenda too k-mbee
chorus:
outro:
oooh
kuleeee, kuleeh, kuleee
braavooo, zungu
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu edwin leal – waiting for you
- lirik lagu mansionair – alibi
- lirik lagu mr.kitty – my weak side
- lirik lagu hozier – wasteland, baby!
- lirik lagu nayt – piove
- lirik lagu quadeca – these days
- lirik lagu rkomi – vuoi una mano?
- lirik lagu youra (유라) – dance (춤)
- lirik lagu anis fahira – limbung 2
- lirik lagu jisook (지숙) – u r my (prequel)