
lirik lagu ali kiba - ubuyu
[intro]
ubuyu umenikaba
napaliwaa
yule mama, mwenye nyumba mama
yule mama, wema mama
[verse 1]
yule mama anapenda sana vitoto
yule mama anawaharibi watoto
yule mama anapenda sana vitoto
yule mama wema mama
anafungua kila siku hadharani
anabana na vichochoro mie
ana nyumba ila kwake hakai
ila siku wana vichochoro mie
[chorus]
wananmpeleka mpaka chooni ee
wananmpeleka mpaka sokoni ee
wananmpeleka mpaka chuoni ee
huyo, huyo, huyo, huyo, huyo
[verse 2]
na yule mama ibraa
pale chini mpakani ee
ndanyono toto wawili
si wa jamani ni wa jirani
[chorus]
wanaongozana mpaka chooni ee
wananmpeleka mpaka sokoni ee
si si kama si hatuoni ee
wanapokezana maskami ee
[refrain]
huyo, huyo, huyo
huyo, huyo, huyo, huyo, huyo
huyo, huyo, huyo
huyo, huyo, huyo, huyo, huyo
[verse 3]
nato~ tongozana jana tu
eti leo birthday yake
simu za siku kununuliana luku
hatumi mita namba yake
si aseme kama yuko sokoni ee
mana vimacho~macho, macho mf~koni ee
si aseme yuko sokoni ee
tumpeleke moto shimoni ee
[refrain]
huyo, huyo, huyo
huyo, huyo, huyo, huyo, huyo
huyo, huyo, huyo
huyo, huyo, huyo, huyo, huyo
[verse 4]
ubuyu umenikaba
leo naumwaga hadharani ee
watu wana tabia mbaya
wanamzidi hata shetani ee
watu wana tabia mbaya
wanamzidi hata shetani
wote motoni ee, sijamuona wa peoni ee
wote motoni ee, sijamuona wa peponi ee
si aseme yuko sokoni ee
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu bl1anna - i'm katelina bitch!
- lirik lagu roy. & surge - act 2
- lirik lagu hayley jensen - i took you back
- lirik lagu westcross - quattro a.m.
- lirik lagu jane remover - ironside*
- lirik lagu michael dice - workn interlude
- lirik lagu kaelar - blessed
- lirik lagu gülyanaq məmmədova - laylay
- lirik lagu pablo milanés & caco senante - la vida es un sueño
- lirik lagu the altons - love you like that