
lirik lagu a-1 rokker - kasi ya basi
(hook)
usinilaumu
ni kasi ya basi
usinilaumu
ni kasi ya basi, mama
ningekuoa
(verse 1)
lainisha, joto la pasi
una ilani ila, naloa maji
kaa la moto, dada, huna wakati
wanihitaji. nakutamani
na najua, dada, yako thamani
toka zamani, na si utani
kwa mbuga lako, hutaki mtalii
niko kwa nchi inayo niibia sahihi
chetu, chao, chawa, humu mna dhiki
hali si hali, natoka saa hizi
(hook)
(verse 2)
lonely kitandani, player mtaani
kuna wasupa wanadai kuretire jersey
nahama ligi chobo sipigwi hadharani
unadai vows na kuwow mashinani
lakini dishi hatuitishi kwa majirani
ni mechi natamani sio ligi, hatuelewani
noma ni, uko coo coo coo, ka elani
n~z~flash ka poo poo poo msalani
nkistress, design unahitaji nicome thru
ukishika ball na hii ushuru ni kunidhurumu
na sidai kuendea diapers, nipate uhuru
hatuwezi kuwa madead beats, mi na mandugu
stole your heart, nkagonga dead end nkihepa
in the event nakutenda, si eti sikukupenda
ni better, kukupeleka na agenda
badala ya mauongo za kutenga na hakuna sh~t tunajenga
(hook)
Lirik lagu lainnya:
- lirik lagu yeezyuri & #xrootz lz - alone
- lirik lagu 黃耀明 (anthony wong) - 光天化日 (in broad daylight) (below tai ping shan live 2014)
- lirik lagu joshua kim - method actor
- lirik lagu andy russell - the very thought of you
- lirik lagu xolypain - 21:45
- lirik lagu paul delmet - au jardin de l'amour
- lirik lagu pryvt - maybe i'm right
- lirik lagu sconosciuto - come venere
- lirik lagu sofia ly - take it slow
- lirik lagu lee scott - lactofree